Serikali imefunga shule ya msingi ya Bombolulu mtaani Kibra huko usalama wa wanafunxi ukihofiwa.
Shule hiyo ilifungwa rasmi na waziri wa Elimu George Magoha ambaye alizuru shule hiyo Jumatano, Septemba 25, huku akisema jengo la shule hiyo ni sawa na lile la Precious Talent ambalo lilibomoka.
Habari Nyingine: Raila afichua kwa nini BBI iliundwa
Akiongea na wanahabari Jumatano baada ya ziara yake shuleni humo, Magoha alisema ameamuru shule zote nchini kupigwa msasa ili kujua hali ya majengo yake.
The proposed $640 million expansion of Britain’s iconic Shepperton Studios has taken another step forward. The proposal received local planning approval Tuesday from the Spelthorne Borough Council, despite some objections from area residents.
Tatiana Maslany and “Scream” star Jasmin Savoy Brown are set to lead Josh Ruben’s sci-fi horror “Green Bank.”
Protagonist Pictures is launching international sales on the film, which will be shopped to buyers at this month’s European Film Market at the Berlin Film Festival.
Nothing on earth compares to the icy sweeps of the planet’s polar extremes. It’s why, perhaps, explorers and scientists who have been there often seek more distant analogies, describing the poles’ austere swaths of frozen terrain in lunar terms, unworldly with their slimmed-down palettes of white, black, and icy blues. Home only to the most exquisitely adapted organisms, the Arctic and Antarctic are largely lethal to humankind, unforgiving with their dark winters, harsh winds, and violent cold.
- Umemwona Bahati katika video za mziki na kadhalika, lakini umemwona mtu aliyemsaidia kufika alipo hii leo?
- Mwimbaji huyo hivi majuzi alimtambulisha kakake mkubwa kwa ulimwengu, ndugu anayesema alimlea
- Kulingana na Bahati, kakake Kioko alikuwa akichuuza mitumba na kufanya vibarua vyote duni ili kumtunza
Mwimbaji maarufu wa injili Kevin Bahati ameyeyusha nyoyo za mashabiki wake na Wakenya kwa jumla baada ya kusimulia ulimwengu mojawapo wa visa vyake vya kuhuzunisha mno.